Ephesians 5:20-22

20 asiku zote mkimshukuru Mungu Baba kwa kila jambo katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo.

21 bNyenyekeaneni ninyi kwa ninyi kwa heshima kwa ajili ya Kristo.

Mafundisho Kuhusu Wake Na Waume

22 cNinyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana.
Copyright information for SwhNEN